naomba uni PM

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
chonde chonde wanachichat nina mwezi sijakuta meseji kwenye inbox yangu,nimewakosea nini?ntupie basi PM hata kama unantukana ili mradi nijisikie huru!(zaidi kinamama pliz mibaba ishieni huko na ubozi wenu).
 
mkuu jaribu weye kutuma kwanza hakika utapata reply...kwa kuanzia watumie mods wote
 
Acha woga,we niPM unipe na namba yako ya m pesa,chezeiya tajiri la kihaya wewe,niko kwenye mudi ya kuhonga leo.

hahahaha nilikuwa sijui kama wewe ndio taikun wa hapa... kama unataka warembo twende kambi ya miss East Africa kuna koktail nzuri kweli ya wadada watz,wanyarwanda, burundi, wakenya, wasomali, waganda, na wakongolisee
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom