Naomba undugu

Ximena

JF-Expert Member
May 17, 2014
641
351
Mmh wajameni humu ndani kuna watu wana waume zao, wake zao, watoto, wakwe, mawifi, mashemeji, kaka zao, dada zao, wapenzi, majirani, mama, baba, bibi, babu n.k.....

mie tu ndo sina ndugu au nimetokea sayari nyingine mweeeh
 
mmh wajameni humu ndani kuna watu wana waume zao, wake zao, watoto, wakwe, mawifi, mashemeji, kaka zao, dada zao, wapenzi, majirani, mama, baba, bibi, babu n.k.....

mie tu ndo sina ndugu au nimetokea sayari nyingine mweeeh

hapo thaathaaa!!
 
mmh wajameni humu ndani kuna watu wana waume zao, wake zao, watoto, wakwe, mawifi, mashemeji, kaka zao, dada zao, wapenzi, majirani, mama, baba, bibi, babu n.k.....

mie tu ndo sina ndugu au nimetokea sayari nyingine mweeeh

we jinsia gan me nitakua ndugu yako.
 
mmh wajameni humu ndani kuna watu wana waume zao, wake zao, watoto, wakwe, mawifi, mashemeji, kaka zao, dada zao, wapenzi, majirani, mama, baba, bibi, babu n.k.....

mie tu ndo sina ndugu au nimetokea sayari nyingine mweeeh

Embu ingia chumbani straight nikufanyie kwanza ukaguzi!
cc: Asprin
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom