Naomba uipe jina hii picha

ndetichia

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
27,775
6,553
panda.gif


source:tanzagiza.com
 
Nchi aliyozaliwa kijana bagamoyo hana kichwa, akawekewa nazi na sasa ni Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
 
Nchi huliwa na wenye meno, hutawaliwa na watawala,lakini imani ya mtu ni mtu mwenyewe. maendeleo ya mtu ni mapinduzi ya shughuli za mtu binafsi na wala hataletewe kama sadaka.
 
Ukitaka kula sharti uliwe.....tehe tehe teheeeee................. Hapana hapana sikumaanisha hivyo!
 
Nchi nzima GIZA na wananchi wake SHIDA tupu na Maisha MAGUMU.Ila kwa mkulu maisha tambalale yamenyokaaaa kabisa anakula BATA Ikulu full umeme na kila kitu.
 
Nchi huliwa na wenye meno, hutawaliwa na watawala,lakini imani ya mtu ni mtu mwenyewe. maendeleo ya mtu ni mapinduzi ya shughuli za mtu binafsi na wala hataletewe kama sadaka.
<br />
<br />
imetulia.
 
dia hawa wanalalamika nini?kwani genereta ni bei ghali?hata huo mzigo kajitakia tu kwani sisi hatuuoni?mbona hatujaubeba.
mwache ajipendekeze,suti zenyewe mwarabu kanipa masharti ya mahali pa kuzivalia na kazi za kuzifanyia sherehe,makongamano,mikutano na shughuli zozote zinazokuwa na makulaji na makunywaji.
uongo dia?
mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom