jitupori
Senior Member
- Feb 22, 2015
- 199
- 76
Habari zenu wadau.
Nilikuwa nauliza je inawezekana kuhack wifi(wireless fidelity) ambayo ipo umbali wa 500M.
Maana hapa ninapoishi nipo karibu na hotel ambayo inahiyo huduma sasa nataka niwe natumia hiyo wifi kwa umbali huo nliopo.. hivyo nlikuwa naomba msaada wa jinsi ya kutumia hiyo huduma nkiwa umbali huo..mwenye ujuzi na hili anisaidie tafadhali.
Nilikuwa nauliza je inawezekana kuhack wifi(wireless fidelity) ambayo ipo umbali wa 500M.
Maana hapa ninapoishi nipo karibu na hotel ambayo inahiyo huduma sasa nataka niwe natumia hiyo wifi kwa umbali huo nliopo.. hivyo nlikuwa naomba msaada wa jinsi ya kutumia hiyo huduma nkiwa umbali huo..mwenye ujuzi na hili anisaidie tafadhali.