Naomba ufumbuzi kuhusu maradhi haya ndugu zangu

charlesfundi

Senior Member
Jun 5, 2017
197
242
Habarini za muda sana jf ni matumaini yangu mko salama!! Nilikua Nina shida katika mwili wangu ambalo limenipelekea kuwaza sana. Natatizo au matatizo yenyewe nihaya nahitaji ufumbuzi kidogo.

Nilikuwa na girlfriend baada ya kukutana kimaumbile baada ya muda kama week nilianza kujihisi kwenye uume kwa chini namaanisha huu mrija unaopitisha kila kitu mkojo na sperms nikiuminya uume kwa chini kwenye huo mrija napata maumivu nikatulia kwa baadae nikaanza Ku discharge vitu Fulani vyeupe nikawa nakunywa maji sana lakini nikikojoa sipati maumivu mkali ni ya kawaida.

Nikamueleza jamaa yangu mmoja ni medical lab akaniambia unaweza kuwa go norhea nikaanza kuchoma sindano za power safe kibaya zaidi tatizo halikuisha ikabidi nibadili dawa nyingine na nikachoma sindano moja tu nikaambiwa nikali sasa baada ya kuchoma hiyo sindano ule uweupe weupe uliisha cha kushangaza baada ya muda nikaanza Ku discharge ule ute mlaini ambao humtoka mwanaume kabla ya kuanza tendo. Sasa nikabaki njia panda maana hapo nilikuwa naendelea na dose ya maradhi mengine kama malaria,typhoid na blucella niporudi kwa Mtaalam akanambia kwa sababu izo unazotumia pia ni strong antibiotic angalia hali itakuaje.

Sasa shida imekuja hapa ambapo uume umelegea sana hata kuwe na sensation yoyote hausimami alafu moja ya korodani linakuwa kama livuta hivi halina maumivu yoyote sema linavuta afu nakua nahisi kukojoa Mara kwa Mara naombeni msaada ndugu zangu niondokane na hii shida na uume umekua mdogo sana laini.

Natanguliza shukurani NB: nimekuwa nikifanya masterbation kwa muda mrefu kidogo.
 
Ilo ni gono, kutema ute na kulegea ni matokeo ya dawa ulizotumia jumlisha na mawazo ya haitosimama tena

kuwa na amani mkuu utakuwa poa.
 
huyo jamaa wako wa medical lab muombe akusaidie kufanya culture and sensitivity ya huo ute unaotoka. hapo ndo utatibu bila kubahatisha.
 
pole sana. next time kuwa makini, gonorrhea ni miongoni mwa magonjwa yaliokumbwa na usugu kupona.
 
Kwa haya Maradhi ya ( malaria,typhoid na blucella ) inaonyesha wewe unatumia Dawa za hospitali kali na zenye nguvu na sumu pia maliza kutumia dawa ulizo pewa huko hospitali kisha uende kupima mkojo wako je unayo hayo maradhi uliyoyataja yamepona? kisha uje tena hapa utupe majibu yako. Kuhusu korodoni kuvuta ni dalili ya wewe kupatwa na maradhi ya ngiri ya mshipa aka busha.

Maliza Dawa ulizo pewa hospitali kisha kapime mkojo wako kuhakikisha je maradhi yako yamepona? ikiwezekana pima na hata damu full blood check up ili tupate kujuwa hayo maradhi ya ( malaria,typhoid na blucella ) Umepna au hujapona?kisha rudi tena hapa utupe mrejesho wako ili tuweze kukupa ushauri mzuri Pia kunywa maji mengi uguwa pole.
 
Kwa haya Maradhi ya ( malaria,typhoid na blucella ) inaonyesha wewe unatumia Dawa za hospitali kali na zenye nguvu na sumu pia maliza kutumia dawa ulizo pewa huko hospitali kisha uende kupima mkojo wako je unayo hayo maradhi uliyoyataja yamepona? kisha uje tena hapa utupe majibu yako. Kuhusu korodoni kuvuta ni dalili ya wewe kupatwa na maradhi ya ngiri ya mshipa aka busha. Maliza Dawa ulizo pewa hospitali kisha kapime mkojo wako kuhakikisha je maradhi yako yamepona? ikiwezekana pima na hata damu full blood check up ili tupate kujuwa hayo maradhi ya ( malaria,typhoid na blucella ) Umepna au hujapona?kisha rudi tena hapa utupe mrejesho wako ili tuweze kukupa ushauri mzuri Pia kunywa maji mengi uguwa pole.
Asante sana nitaleta mrejesho
 
Back
Top Bottom