Dnmunisi
Member
- Nov 11, 2020
- 18
- 16
Habari za wakati huu, ni matumaini yangu kuwa mnaendekea vizuri na shughili za kujenga taifa..hongereni sana
Kuna mdogo wangu yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza chuo kikuu cha dodoma (udom) anasomea environmental science kufikia hapo alipo anasema anachokisomea hakipendi na kwamba alikubali tuu kwenda kusoma hiyo kozi ili tuu asibaki mtaani...anataka aache chuo ili aanze tena upya kuapply mwaka huu. Ninaombeni ushauri wenu ndugu zangu juu ya taratibu za kufata na pia ni mnufaika wa mkopo.
1. Je, afate taratibu gani ili aweze tena kuapply chuo upya.
2. Kwa mfano asipopata anachotaka kukisomea ataweza tena kurudi kuendelea na kozi ile ile aliyokua anaisomea?
3. Kuna uwezekano wa kuweza kupata mkopo kwa mara nyingine?
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wote watakaotoa maoni yao asanteni sana na Mungu awabariki
Kuna mdogo wangu yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza chuo kikuu cha dodoma (udom) anasomea environmental science kufikia hapo alipo anasema anachokisomea hakipendi na kwamba alikubali tuu kwenda kusoma hiyo kozi ili tuu asibaki mtaani...anataka aache chuo ili aanze tena upya kuapply mwaka huu. Ninaombeni ushauri wenu ndugu zangu juu ya taratibu za kufata na pia ni mnufaika wa mkopo.
1. Je, afate taratibu gani ili aweze tena kuapply chuo upya.
2. Kwa mfano asipopata anachotaka kukisomea ataweza tena kurudi kuendelea na kozi ile ile aliyokua anaisomea?
3. Kuna uwezekano wa kuweza kupata mkopo kwa mara nyingine?
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wote watakaotoa maoni yao asanteni sana na Mungu awabariki