Wakuu habarini za muda huu.
Naomba kuuliza hivi katika ishu za mirathi endapo marehemu ameacha wosia na katika wosia ule umehusisha baadhi tu ya Mali zake, pia wosia ule ukiwa umetaja msimamizi wa wosia ule.
Je, kwa zile Mali ambazo hazikuorodheshwa kwenye wosia utaratibu unakuaje? Je Kuna uwezekano wa kuwa na msimamizi wa wosia na msimamizi wa mirathi?
Naomba kuuliza hivi katika ishu za mirathi endapo marehemu ameacha wosia na katika wosia ule umehusisha baadhi tu ya Mali zake, pia wosia ule ukiwa umetaja msimamizi wa wosia ule.
Je, kwa zile Mali ambazo hazikuorodheshwa kwenye wosia utaratibu unakuaje? Je Kuna uwezekano wa kuwa na msimamizi wa wosia na msimamizi wa mirathi?