kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Wana JF mi dukuduku langu ni juu ya Hii jumuiya ya WAZAZI ya CCM nina maswali ambayo najiuliza kila siku lakini sipati majibu, maswali yangu ni haya yafuatayo
Nauliza haya ni kwa sababu kama tunavyojua Jumuiya za Vijana wahusika ni Vijana, Jumuiya za wanawake wahusika ni wanawake na hata kama kungekuwa na jumuiya za wanaume wangeusika wanaume na pia kungekuwa na jumuiya za wazee wangehusika wazee, sasa hii jumuiya wahusika ni akina nani?
Nawasilisha, naomba msaada wa ufafanuzi.
- Katika hii Jumuiya ili uwe mwanajumuia unatakiwa uwe na sifa zipi?
- Nini hasa lengo la kuanzishwa kwa Jumuiya Hii?
- Na neno WAZAZI linatumika kwa maana ipi?
Nauliza haya ni kwa sababu kama tunavyojua Jumuiya za Vijana wahusika ni Vijana, Jumuiya za wanawake wahusika ni wanawake na hata kama kungekuwa na jumuiya za wanaume wangeusika wanaume na pia kungekuwa na jumuiya za wazee wangehusika wazee, sasa hii jumuiya wahusika ni akina nani?
Nawasilisha, naomba msaada wa ufafanuzi.