Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,856
- 2,953
HABARI ZENU
Nimeona niandike hapa Jamiiforum kwa kuamini hapa ni jungu na pia wahusika wakuu wapo humu na wanapitia hapa japo kimya kimya
Licha ya watu kusajili laini zao kwa alama za vidole ila matapeli wameendelea kutusumbua. Je, kwanini TCRA haiwakamati? Na kama wametumia vitambulisho vya wengine kusajili laini hizo kwanini wamiliki wa vitambulisho hivyo na mawakala waliosajili laini hizo na kuziuza kwa matapeli hawakamatwi?
Swali langu la mwisho, na je kama mtu alisajili kwa kutumia kitambulisho cha kupigia kula ila baada ya mfumo wa alama za vidole laini yake ikafungiwa na akaamua kusajiri laini nyingine kwa jina lile lile kwa kutumia kitambulisho cha taifa uwezekano wa kupatikana mtu huyo upo kwa kuangalia majina yake katika system ya TCRA?
Asanteni sana naombeni majibu kwa maswali hayo machache.
Nimeona niandike hapa Jamiiforum kwa kuamini hapa ni jungu na pia wahusika wakuu wapo humu na wanapitia hapa japo kimya kimya
Licha ya watu kusajili laini zao kwa alama za vidole ila matapeli wameendelea kutusumbua. Je, kwanini TCRA haiwakamati? Na kama wametumia vitambulisho vya wengine kusajili laini hizo kwanini wamiliki wa vitambulisho hivyo na mawakala waliosajili laini hizo na kuziuza kwa matapeli hawakamatwi?
Swali langu la mwisho, na je kama mtu alisajili kwa kutumia kitambulisho cha kupigia kula ila baada ya mfumo wa alama za vidole laini yake ikafungiwa na akaamua kusajiri laini nyingine kwa jina lile lile kwa kutumia kitambulisho cha taifa uwezekano wa kupatikana mtu huyo upo kwa kuangalia majina yake katika system ya TCRA?
Asanteni sana naombeni majibu kwa maswali hayo machache.