Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,512
- 4,129
Habari Vodacom,
Mimi nimejiunga hivi karibun kwenye Mpesa App. Napendekeza muweke option ya kuserve number za Luku, Maji, DSTV nk hii itamrahishia sana mteja kwa kuokoa muda na kuepuka makosa.
Nimejaribu kulipia umeme na Kingamuzi inanipa option ya kutype number...kitu ambacho naona kimepitwa na wakati
Nawakilisha
Mimi nimejiunga hivi karibun kwenye Mpesa App. Napendekeza muweke option ya kuserve number za Luku, Maji, DSTV nk hii itamrahishia sana mteja kwa kuokoa muda na kuepuka makosa.
Nimejaribu kulipia umeme na Kingamuzi inanipa option ya kutype number...kitu ambacho naona kimepitwa na wakati
Nawakilisha