Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,095
- 3,476
Hilo siyo la kuuliza tena. Kama kupotea sasahivi wanapoteana kila mtu Kambale.Mkuu vipi kuhusu msimamo wa chama juu ya serikali ya Magufuli...naona chama kimepoteana sasa.!
Hilo siyo la kuuliza tena. Kama kupotea sasahivi wanapoteana kila mtu Kambale.Mkuu vipi kuhusu msimamo wa chama juu ya serikali ya Magufuli...naona chama kimepoteana sasa.!
Baby can you fly to KIA;+!Duh! Watu bwana.!
Baby can you fly to KIA;+!Duh! Watu bwana.!
Ğhhii makinikia hata mimi ningeiteua
Kwani tatizo liko wapi?
Yeye hajajiuzulu
Kwani huyo ni Waziri Mkuu wa CCM au wa JMT? Mbona unajitoa ufahamu mchana kweupe hivi?
mimi sitaki kabisa kumzungumzia huyu binti klatika siasa kwa kweli, huyu binti ni mashine aise sintojiuliza maswali nikimuona kokote na mtu yeyote.
Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi, umenifungua Macho....japo umeacha maswali mengi kwenye uchambuzi wa wengi.......?idawa Ni kawaida kwa Rais, Makamu wa Rais ama Waziri Mkuu kuteua baadhi ya wabunge bila ya kujali itikadi za vyama vyao kuandamana nao kwenye ziara kama hizo. Kinachofanywa kwenye ziara hizo huwa si mipango ya wanaoteuliwa kuandamana nao bali ni mwenye ziara yake.
Mfumo wa nchi yetu ni mchanganyiko wa falsafa nyingi sana na wakati mwingine inazua mgongano wa fikra. Bunge lina pande mbili ( Parliament not National Assembly) upande mmoja ni Rais na upande mwingine ni wabunge. Kwa maana nyingine wabunge zaidi ya mia tatu nguvu yao ni sawa na mtu mmoja ambaye ni Rais.Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi, umenifungua Macho....japo umeacha maswali mengi kwenye uchambuzi wa wengi.......?
Nimeona Upendo Peneza viti maalum Chadema kwenye ziara ya Waziri Mkuu wilayani Ruangwa wakigawa pikipiki kwa vijana wa ccm.....Naomba ufafanuzi hiyo ziara inahusiana na nini.?
=============================
Updates
Mbunge viti maalum CHADEMA kutoka Mkoa wa wa Geita, Upendo Peneza ameungana na wabunge wa CUF wa Mkoa wa Lindi katika ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika mkoa huo.
Katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Shule ya msingi Likangara wilayani Ruangwa, Peneza amewaomba wananchi waliombee taifa ili liendelee kuwa na amani pamoja na kuwaombea viongozi wa kisiasa wawe na uvumilivu ili wazidi kusonga mbele kimaendeleo.
"Wananchi wa Ruangwa nawatakia maisha mema ili mzidi kusonga mbele, tuombee amani ya nchi yetu na mtuombee viongozi tuwe na uvumilivu wa kisiasa."
Mbali na Upendo, pia mkutano huo ulihudhuriwa na wabunge wengine ambao ni Hassan Masala (Nachingwea), Zubery Kuchauka (Liwale), Hassan Kaunje (Lindi Mjini) na Hamida Abdalaah (Viti Maalumu).
Kwa pamoja wabunge hao wamesema lengo la kushiriki kwenye ziara hiyo ni kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kuwaletea wananchi maendeleo
Chanzo Azam news.
My take....
Je hii inaashiria nini kwa chama cha Chadema, je Chedema kimegawanyika rasmi kuhusu serikali ya Magufuli.?
Au nae amenunuliwa kama madiwani wa Arumeru.
Mkuu nashukuru sana kwa ufafanuzi wako, japo watu kama wewe wanazidi kupungua siku hadi siku jf .Mfumo wa nchi yetu ni mchanganyiko wa falsafa nyingi sana na wakati mwingine inazua mgongano wa fikra. Bunge lina pande mbili ( Parliament not National Assembly) upande mmoja ni Rais na upande mwingine ni wabunge. Kwa maana nyingine wabunge zaidi ya mia tatu nguvu yao ni sawa na mtu mmoja ambaye ni Rais.
Na ndiyo maana Bunge linaweza kwa kutumia wingi wao wakamuondoa (Impeachment) Rais madarakani. Lakini naye rais anao uwezo wa kulivunja Bunge. Kwa mantiki hiyo Rais na wabunge nguvu zao ni sawa. Sasa hawa kuanzia Rais Mpaka waziri Mkuu huwa wanachagua wabunge wa kuongozana nao kwenye ziara wanazofanya, wenyewe wanadai wabunge wakaone serikali inafanya nini.
Serikali hutoa taarifa bungeni kueleza wabunge watakaoongozana na viongozi hao ili kama wana majukumu mengine wasihesabiwe kuwa ni watoro. Tatizo ni mitizamo ya siasa zetu kuwa za kiaudui na kuviziana. Kiongozi anaweza kutumia fursa hiyo kumshawishi Mbunge ama mbunge anaweza kutumia fursa hiyo kuharibu ziara ya kiongozi.
Kambi ya Upinzani uhusishwa sema kutokana na huo woga wa kurubuniwa na hizo siasa za kuviziana huwa kuna kuwa na mashaka kwa nini Mbunge fulani kateuliwa. uteuzi huo kwa mfano kama unahusishwa na mbunge anayeonekana ana mahusiano mazuri na wana CCM huzua taharuki.Vipi kuhusi huo uteuzi kwenye ziara za Waziri Mkuu kambi ya upinzani huwa inahusishwa hasa kwa wabunge wa upinzani.?