Sijui 😂, ila najua kuna bandari kavu imejengwa ili mallory yasije dar, yapokee mizigo huko huko ili kupunguza foleni, so for sure najua itabeba mizigo, nikiona michoro ya design naweza nikajibu hayo maswali yako.Inajengwa lini na wapi itakutana na ile imejengwa juu kwa juu
Bas labda mizigo iwe inaenda kupakiziwa huko bandari ya nchi kavu lakini pia inakuwa ni kamaSijui 😂, ila najua kuna bandari kavu imejengwa ili mallory yasije dar, yapokee mizigo huko huko ili kupunguza foleni, so for sure najua itabeba mizigo, nikiona michoro ya design naweza nikajibu hayo maswali yako.
Hapo chini ya hiyo " Viduct ya SGR" itajengwa tena ile reli yetu pendwa ya mita gauge, hiyo ndio itakuwa punda wa mizigo nadhani 🤔Bas labda mizigo iwe inaenda kupakiziwa huko bandari ya nchi kavu lakini pia inakuwa ni kama
Usumbufu na gharama