Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,129
- 18,743
Hivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu.
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?