Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,276
- 17,983
Sijui unaishi nchi gani. Nina uhakika sio Tanzania. Na kama upo Tanzania, basi unadhani kuendesha a proper higher learning institution ni sawa na sekondari kata.Wewe huelewi chochote, au unadhani Serikali inaendeshwa mithili ya familia yako? Matengenezo yote unayoyaongelea katika Taasisi za umma yana bajeti yake, Mtu hawezi kukurupuka tu na kutumia fedha kwa tatizo ambalo hazikuelekezwa kwake. Muda mwingine tuwe tunatumia akili kidogo tu kufikiri, maana inawezekana nyie ndo future leaders wa nchi hii, lakini msipojielimisha mambo haya madogo mnakuwa janga la Taifa.
I am wasting my time kujadili nawe.