Naomba ufafanuzi taasisi ya elimu (Chuo) kutoa gawio kwa Serikali

hivi NIDA wanafanya biashara gani ya kuwaingizia faida hadi watoe gawio?
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
Hahaa awamu ya comedy
tapatalk_1574575535913.jpeg
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
FUTUHIIIII NDIO NI FUTUHI.

Wanajua wanahaibika kwenye UCHAFUZI ndio maana wanaleta taarifa ya Styne kuzuia ndege maa kuhamia ikulu mara magawio ili mradi kuficha AIBU ya UCHAFUZI hahahahahahaahaaaaaa.
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
Sasa vyuo vikuu karibu vyote vinaongozwa Kwa hasara/deficit ,na vinategemea ruzuku,gawio linatoka kwenye fedha zipi?
 
Tanzania ina vichekesho sana sasa NIDA anatoa gawio kutoka katika faida gani aliyopata?
 
Hakuna taasisi isiyo na changamoto. Ww unadhani TPA hawana shida na upanuzi wa bandari, au unafikir hawana madeni
Kiongozi, TPA ni sawa na ndiyo maana sijawataja. Hao wanafanya biashara.
IFM na taasisi nyingine za elimu ni simply huduma kwa jamii.
Kesho mtasikia hospital zinatoa gawio!
 
Kama wanafanya biashara kwann wasitoe??? Changamoto za ndani hazizuii kutoa gawio.. na pia gawio linapatikana baada ya kutoa matumizi yote ( Expenditures) fedha inayobaki ndo serikali inapokea, na ninyi mnaanza shughuli za mwaka mwengine wa fedha
Kiongozi, TPA ni sawa na ndiyo maana sijawataja. Hao wanafanya biashara.
IFM na taasisi nyingine za elimu ni simply huduma kwa jamii.
Kesho mtasikia hospital zinatoa gawio!
 
Kama wanafanya biashara kwann wasitoe??? Changamoto za ndani hazizuii kutoa gawio.. na pia gawio linapatikana baada ya kutoa matumizi yote ( Expenditures) fedha inayobaki ndo serikali inapokea, na ninyi mnaanza shughuli za mwaka mwengine wa fedha
Naelewa vyema jinsi taasisi za elimu zinavyoendeshwa na matatizo yake. Ni sawa na kuazima jamvi msibani.
 
Hello Bosses,

Nimeshtushwa na hili. Je, ni halali kwa taasisi ya elimu kuwa chanzo cha mapato kwa serikali?

Nimeshtuka kuona IFM kutoa gawio karibia billion 2, juzi hapa nimemlipia dogo ada 1,800,000+, ada tu bila hostel hela ya kula na kujikimu.

Tumefika mbali sana hadi elimu ni chanzo cha mapato, kwa wanaojua naomba ufafanuzi juu ya hili.
Hyo ada unataka iende wapi jiulize private school wanapataje faida si ada hzo simpo
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/ mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
IFM ni chuo cha serikali ambapo mishahara yote ya watumishi inalipwa na serikali ila inakusanya ada kwa wanafunzi.
Idadi ya wanafunzi kuanzia certificate hadi ngazi ya masters hawapungui 5000.
Kila mwanafunzi akitoa ada ya milioni moja tu kwa mwaka nje ya hostel ni hela nyingi sana. toa matumizi ya maji, umeme, mafuta ya gari kiasi kinachobaki ndio hilo gawio
 
Ni aibu kwa taasisi za elimu kugeuka kuwa vitega uchumi. Ni ndani ya vyuo hivi wanafunzi wanashinda au kulala njaa , na wengi kukosa hela ya ada, wengine kugeuka vibaka, machinga, bodaboda na changudoa ili kujikimu. Kumbe gharama zinapandishwa kupata gawio.
 
Naelewa vyema jinsi taasisi za elimu zinavyoendeshwa na matatizo yake. Ni sawa na kuazima jamvi msibani.

Wewe huelewi chochote, au unadhani Serikali inaendeshwa mithili ya familia yako? Matengenezo yote unayoyaongelea katika Taasisi za umma yana bajeti yake, Mtu hawezi kukurupuka tu na kutumia fedha kwa tatizo ambalo hazikuelekezwa kwake. Muda mwingine tuwe tunatumia akili kidogo tu kufikiri, maana inawezekana nyie ndo future leaders wa nchi hii, lakini msipojielimisha mambo haya madogo mnakuwa janga la Taifa.
 
Sasa hiyo ni biashara au.. Ndo utasikia jeshi nalo limerudisha gawio au polisi.. Hizo ni gharama tu za uendeshaji sasa mbona vitambulisho havitolewi
Ukipoteza Kitambulisho Unalipa Tshs 20000/=
Uweze Kupatiwa Kingine, Wanastahiri Kulipa Gawio Serikali
 
Tatizo la humu kila mtu mjuaji kutoa gawio ni muhimu hata kama ni milioni 10 tu. Taasisi zijalibu kupunguza warsha na makongamano yasiyo na tija au kujinunulia magari ya kifahari
 
Back
Top Bottom