Hahaa awamu ya comedyNimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.
Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.
Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.
Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?
Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.
TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
FUTUHIIIII NDIO NI FUTUHI.Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.
Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.
Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.
Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?
Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.
TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
Hakuna taasisi isiyo na changamoto. Ww unadhani TPA hawana shida na upanuzi wa bandari, au unafikir hawana madeni
Sasa vyuo vikuu karibu vyote vinaongozwa Kwa hasara/deficit ,na vinategemea ruzuku,gawio linatoka kwenye fedha zipi?Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.
Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.
Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.
Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?
Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.
TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
Hajali zinatoka wapi. Hata kama taasisi zitakufaHela za kwenda kununua ndege!
ExactlyPesa ya upanuzi was bandari ni yetu walipa kodi TPA wamepewa na TRA kupitia hazina
Kiongozi, TPA ni sawa na ndiyo maana sijawataja. Hao wanafanya biashara.Hakuna taasisi isiyo na changamoto. Ww unadhani TPA hawana shida na upanuzi wa bandari, au unafikir hawana madeni
Kiongozi, TPA ni sawa na ndiyo maana sijawataja. Hao wanafanya biashara.
IFM na taasisi nyingine za elimu ni simply huduma kwa jamii.
Kesho mtasikia hospital zinatoa gawio!
Naelewa vyema jinsi taasisi za elimu zinavyoendeshwa na matatizo yake. Ni sawa na kuazima jamvi msibani.Kama wanafanya biashara kwann wasitoe??? Changamoto za ndani hazizuii kutoa gawio.. na pia gawio linapatikana baada ya kutoa matumizi yote ( Expenditures) fedha inayobaki ndo serikali inapokea, na ninyi mnaanza shughuli za mwaka mwengine wa fedha
Hyo ada unataka iende wapi jiulize private school wanapataje faida si ada hzo simpoHello Bosses,
Nimeshtushwa na hili. Je, ni halali kwa taasisi ya elimu kuwa chanzo cha mapato kwa serikali?
Nimeshtuka kuona IFM kutoa gawio karibia billion 2, juzi hapa nimemlipia dogo ada 1,800,000+, ada tu bila hostel hela ya kula na kujikimu.
Tumefika mbali sana hadi elimu ni chanzo cha mapato, kwa wanaojua naomba ufafanuzi juu ya hili.
IFM ni chuo cha serikali ambapo mishahara yote ya watumishi inalipwa na serikali ila inakusanya ada kwa wanafunzi.Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/ mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.
Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.
Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.
Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?
Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.
TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
. Hahahahah awamu ya kusifiaShangaa NIDA wanaopokea kila senti na hawafanyi biashara eti leo nao wanatoa gawio
Naelewa vyema jinsi taasisi za elimu zinavyoendeshwa na matatizo yake. Ni sawa na kuazima jamvi msibani.
Ukipoteza Kitambulisho Unalipa Tshs 20000/=
Uweze Kupatiwa Kingine, Wanastahiri Kulipa Gawio Serikali