Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,480
Habari za asubuhi wanajamvi.
Naomba msaada kujua uimara wa hizi gari sifa za uzuri wake na ubaya wake pia, na kuhusu spare zake hapa nchini kwetu zinapatikana?
Je! Ili iweze kudumu na vitu gani mhimu vya kuzingatia wakati wa uendeshaji na je vipi kwa barabara za vumbi inaweza himili?
Baada ya hapo naomba pia wataalamu wa kodi mje hapa je hii gari mpaka naipata mkononi hapo nitaitoa bandarini kwa Shilingi ngapi?
Karibuni ndugu zangu kwa ushauri kwa mdogo wenu