Eyes_blogger
Senior Member
- Nov 30, 2016
- 115
- 81
Naomba kuuliza nimesikia kua ajira za mwaka 2016-2017 lazimq uwe na gpa ya 3.8 sawa kama ni kweli naomba ufafanuzi kwa mwenye taarifa kamili na kwa wale wenzangu na mimi ulipewa mkopo na hukufikisha gpa iyo so hautapata ajira?
Na huu utaratibu umeanza sasa hivi kwa waliomaliza hapo nyuma si utawaathiri wengi au anyway naomba ufafanuz ili nami nielewe. Naomba kuwasilisha
Na huu utaratibu umeanza sasa hivi kwa waliomaliza hapo nyuma si utawaathiri wengi au anyway naomba ufafanuz ili nami nielewe. Naomba kuwasilisha