Naomba ufafanuzi kuhusu Walinzi wa Hayati Rais Magufuli

Brother Kaka

Member
Jun 11, 2013
90
54
Ningependa kufahamu weledi wa hawa walinzi wawili wa Hayati Rais John Pombe Magufuli. Naona huyu mlinzi mweusi na huyo mwenye sigjda wamekuwa wakipokea sifa kemkemu kutoka kwa Watanzania kwenye mitandao ya kijamii. Mwenye kujua chochote kuhusu taaluma yao atujuze.

images (2).jpeg


Screenshot_20210326-142842_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom