zink
JF-Expert Member
- Sep 18, 2021
- 924
- 1,477
Habari wakuu natumaini wote wazima wa afya.
Kuna siku ilitokea kwa ndugu yangu mmoja hivi umri 29 years mapigo yake ya moyo yalikua yanadunda haraka sana, hali hiyo ilipelekea kwenda hospitali ya taifa ya muhimbili kwa ajiri ya vipimo na alivyofika muhimbili kitengo cha cardiac Jakaya walimpima matatizo yafuatayo;
1.kisukari
2.pressure
3.ugonjwa wa figo
4.ugonjwa wa moyo
Yaani kwa kifupi walimpima magonjwa yote na majibu yakawa mazuri yani alionekana mzima kila kitu ila walimpatia dawa kama mapigo ya moyo yakienda kasi atumie ila badae hali ikapote hivyo akaacha kutumia dawa.
Lakini pia walimfungia kifaa ambacho kitakua kinampima pressure na mapigo ya moyo kila dakika 60 na kifaa icho alikaa nacho kama week 3 hivi, badae ilibidi kwenda kuondolewa kifaa icho na majibu yakatoka na ikaonekana yupo vizuri yani haumwi wala hana tatizo lolote.
Kwa sasa hali uwa inatokea uwa kama moyo unashtuka hivi anaeweza akawa amelala, amekaa hali hiyo ya moyo kushtuka inatokea je tatizo ni nini hapo wakuu.
Kuna siku ilitokea kwa ndugu yangu mmoja hivi umri 29 years mapigo yake ya moyo yalikua yanadunda haraka sana, hali hiyo ilipelekea kwenda hospitali ya taifa ya muhimbili kwa ajiri ya vipimo na alivyofika muhimbili kitengo cha cardiac Jakaya walimpima matatizo yafuatayo;
1.kisukari
2.pressure
3.ugonjwa wa figo
4.ugonjwa wa moyo
Yaani kwa kifupi walimpima magonjwa yote na majibu yakawa mazuri yani alionekana mzima kila kitu ila walimpatia dawa kama mapigo ya moyo yakienda kasi atumie ila badae hali ikapote hivyo akaacha kutumia dawa.
Lakini pia walimfungia kifaa ambacho kitakua kinampima pressure na mapigo ya moyo kila dakika 60 na kifaa icho alikaa nacho kama week 3 hivi, badae ilibidi kwenda kuondolewa kifaa icho na majibu yakatoka na ikaonekana yupo vizuri yani haumwi wala hana tatizo lolote.
Kwa sasa hali uwa inatokea uwa kama moyo unashtuka hivi anaeweza akawa amelala, amekaa hali hiyo ya moyo kushtuka inatokea je tatizo ni nini hapo wakuu.