kanonb
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 391
- 328
Habari wakuu,
Ni matumaini yangu kwamba mpo wazima na wenye changamoto za maisha Mungu anazidi kutusaidia tusikate tamaa (keep going). Sasa jamani nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu hivi kuna watu hupenda kutembea katika makundi (in groups) yaani hata kama ukimkuta mtu huyo angalau wawe wawili wanatembea lakini kuna watu wengine hupenda kutembea peke yao, yaani watu hao hawawezi kutembea katika makundi yaani utamkuta mtu muda wote yupo peke yake anatembea peke yake na akitembea na kundi la watu huwa ajisikii vizuri anapenda tu kuwa mwenyewe kwanini wajuzi wa mambo saidieni jamani
Ni matumaini yangu kwamba mpo wazima na wenye changamoto za maisha Mungu anazidi kutusaidia tusikate tamaa (keep going). Sasa jamani nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu hivi kuna watu hupenda kutembea katika makundi (in groups) yaani hata kama ukimkuta mtu huyo angalau wawe wawili wanatembea lakini kuna watu wengine hupenda kutembea peke yao, yaani watu hao hawawezi kutembea katika makundi yaani utamkuta mtu muda wote yupo peke yake anatembea peke yake na akitembea na kundi la watu huwa ajisikii vizuri anapenda tu kuwa mwenyewe kwanini wajuzi wa mambo saidieni jamani