Mr SGR
Member
- Apr 8, 2021
- 36
- 16
Wana jamvi nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano bila shaka kazi zinaendelea!
Juzi kati nimefanya interview na hawa jamaa wa Bureau Veritas kwa sasa nasubiri majibu ya hiyo interview. Ila naomba kwa anayejua mazingira yao ya kazi, pamoja na maslahi kwa wafanyakazi wao yapoje?
Nawasilisha
Juzi kati nimefanya interview na hawa jamaa wa Bureau Veritas kwa sasa nasubiri majibu ya hiyo interview. Ila naomba kwa anayejua mazingira yao ya kazi, pamoja na maslahi kwa wafanyakazi wao yapoje?
Nawasilisha