njiro
Senior Member
- Nov 7, 2010
- 146
- 107
Nilikuwa nimeajiriwa sehemu. Baada ya hapo nikaacha kazi, na mafao yangu nikachukua hapo NSSF. Nikakaa mtaani bila kazi kwa mwaka mmoja (nilienda kusoma). Baada ya hapo nikabadilisha jina kisheria(kwa sababu binafsi).
Nikafanikiwa kuapata kazi sehemu nyingine nikiwa natumia jina jipya. Sehemu niliyopata kazi wafanyakazi wake wote wanapeleka mafao yao yanaenda NSSF. Nilipewa form ya kijiunga na mfuko tajwa, ila sikufanikiwa kupata namba hadi muda huu, hapa nimeishafanya kazi kama miaka mi 3 hivi so pale NSSF pesa yangu ipo kwenye suspense akaunti.
Kuna siku wakapita watu wa LAPF ofisini kwetu, nikajiunga na mfuko huo, na namba nikapata. Ila mafao yangu ya miaka mitatu yapo bado NSSF.
Swali ni hili
1. ni jinsi gani ya kuhamisha?
2. Sheria inasemaje?
Naomba ufafanuzi
Nikafanikiwa kuapata kazi sehemu nyingine nikiwa natumia jina jipya. Sehemu niliyopata kazi wafanyakazi wake wote wanapeleka mafao yao yanaenda NSSF. Nilipewa form ya kijiunga na mfuko tajwa, ila sikufanikiwa kupata namba hadi muda huu, hapa nimeishafanya kazi kama miaka mi 3 hivi so pale NSSF pesa yangu ipo kwenye suspense akaunti.
Kuna siku wakapita watu wa LAPF ofisini kwetu, nikajiunga na mfuko huo, na namba nikapata. Ila mafao yangu ya miaka mitatu yapo bado NSSF.
Swali ni hili
1. ni jinsi gani ya kuhamisha?
2. Sheria inasemaje?
Naomba ufafanuzi