Naomba ufafanuzi kuhusu menu ya Airtel kifurushi cha usiku

vampire123

JF-Expert Member
Apr 17, 2016
1,285
820
Wakuu habari zenu,

Nilikuwa naomba kujua menu ya kujiunga kifurushi cha gb 10 usiki
 
Pengine itakua ulisafiri nje ya nchi..au Sio Airtel umekosea.
 
*148*88# then chagua Siku then chagua Bando za Usiku
Screenshot_20210511-083457.jpg
 
hao ni Airtel wanasema 4G ipo mtaani wewe piga tu *148*88#
Kwa sasa natumia halotel 3G na menu Yao ya Bundle za usiku wana 5gb saa 6 mpaka 12 asubuhi, sasa najaribu kutafuta menu ambayo imetajwa hapo kwa airtel lakini hamna kitu, na mume upgrade kitambo 4g labda mmweke step by step
 
umepiga namba zipi Mkuu? ina maana hujawapata Airtel ya kasi ya 4G ?
acha namba za zamani za Intenet
anza na *148*88# endelea, Smartika, utawakuta huko wa 2,000/ siku 3 mpaka wa 20,000/
 
Wanacho cha usiku gb10 kwa 1500 saa 6 usiku hadi 12
Ni 15k sio 1500
Kwa ushauli wangu ni bora ununue cha 2000 unapewa GB 2 kwa siku3, kuliko hcho 15k afu usiku tu, na wakati huo kwa15k unanunu vifurushi vya 2k 7 na unapata GB 14 na chenji inabaki
 
Ni 15k sio 1500
Kwa ushauli wangu ni bora ununue cha 2000 unapewa GB 2 kwa siku3, kuliko hcho 15k afu usiku tu, na wakati huo kwa15k unanunu vifurushi vya 2k 7 na unapata GB 14 na chenji inabaki
Ni buku jero ndugu na siyo elfu kumi na tano.
 
Menu ni hiyo hiyo *148*88#

Labda wametugawa makundi na sim card yangu ina zaidi ya 5 yrs, mwanzoni nilikuwa na access vifurushi vya chuo, sasa hivi hakuna hizo offer, hata kifurushi chao cha usiku ilikuwa ni 600mb kama sio kwa buku basi ni jero. Zaidi ya hapo sijaona kifurushi cha bei ya chini ya buku mbili chenye afadhali kwa airtel labda ni kwa wanafunzi tu
umepiga namba zipi Mkuu? ina maana hujawapata Airtel ya kasi ya 4G ?
acha namba za zamani za Intenet
anza na *148*88# endelea na intenet, Smartika, utawakuta huko wa 2,000/ siku 3 mpka wa 20,000/
 
Menu ni hiyo hiyo *148*88#

Labda wametugawa makundi na sim card yangu ina zaidi ya 5 yrs, mwanzoni nilikuwa na access vifurushi vya chuo, sasa hivi hakuna hizo offer, hata kifurushi chao cha usiku ilikuwa ni 600mb kama sio kwa buku basi ni jero. Zaidi ya hapo sijaona kifurushi cha bei ya chini ya buku mbili chenye afadhali kwa airtel labda ni kwa wanafunzi tu
upo sahihi hawa Airtel walifuta kwa baadhi vifurushi vya Chuo
lkn kwa hapo hapo wanakupa offer ya kukipandisha kwenda 4G kwa kupiga namba zao
labda mwisho ungefika ofisi zao za karibu au ajent atakupa line nyingine kya 4G kwa namba zako hizohizo
 
Internet speed na network yake ikoje wazee
Kunguru hawa jamaa kwa sasa ni tishio speed ni kubwa kuliko Halotel na wengineo
Voda pia wamo ila wanakomba vibaya sana kwa siku unamaliza hadi cent
airtel ukinunua kifurushi cha siku 3 kwa 2,000 unapata 1.2GB na siku ya 3 unakuta bado upo 1.7GB
jaribu na nahisi vinapandiana wewe ni kuongeza tu utakuta 2GB
 
Back
Top Bottom