Ni 15k sio 1500
Kwa ushauli wangu ni bora ununue cha 2000 unapewa GB 2 kwa siku3, kuliko hcho 15k afu usiku tu, na wakati huo kwa15k unanunu vifurushi vya 2k 7 na unapata GB 14 na chenji inabaki
Bofya 3 afu 6
Hapo sasa nimefurahiUkifika kwenye hiyo menu chagua namba 3 Daily kisha utaona menu nyingine, hapo napo chagua namba 6 "night packs" utaona hicho kifurushi.
View attachment 1780374
View attachment 1780380
Pamoja sana ndugu.Hapo sasa nimefurahi
Ngoja niingie Airtel rasmiKunguru hawa jamaa kwa sasa ni tishio speed ni kubwa kuliko Halotel na wengineo
Voda pia wamo ila wanakomba vibaya sana kwa siku unamaliza hadi cent
airtel ukinunua kifurushi cha siku 3 kwa 2,000 unapata 1.2GB na siku ya 3 unakuta bado upo 1.7GB
jaribu na nahisi vinapandiana wewe ni kuongeza tu utakuta 2GB
Chagua Daily hapo utaona bando la usiku humo ndaniOna napata hiyo menuView attachment 1780365
Hakikisha tu unatumia 4G na eneo lako lina shika 4G. 3G yao ni upuuzi ila 4G iko vizuriNgoja niingie Airtel rasmi
Sawa sawa mkuuHakikisha tu unatumia 4G na eneo lako lina shika 4G. 3G yao ni upuuzi ila 4G iko vizuri
4G yao iko poa sana sikuhizi. Inapiga mpaka 20MbpsSawa sawa mkuu
Hivi 4G Ni simu unasemea iwe nayo au laini ?
Na sim zp zinakua na 4g
Je infinix hot 8 ina 4G ?
Nishaipata shukranChagua Daily hapo utaona bando la usiku humo ndani
Ni buku jero ndugu na siyo elfu kumi na tano.
Ok, kama n hvyo imekaa poa sanaWanaounga usiku wanataka kwa ajili ya kudownload movies tu au kuapdate files. Na ni sh 1500 sio 15000 ile ni typing error kwa upande wao ila mwenye 1500 anaunga vizuri tu
kwenye hiyo option yao naona wanaupgrade line ya Airtel na sio simu handsetSawa sawa mkuu
Hivi 4G Ni simu unasemea iwe nayo au laini ?
Na sim zp zinakua na 4g
Je infinix hot 8 ina 4G ?
Mm nimeshawahi jiunga. Nadhani ilikua week iliyopita. Typing error tu hyo. Nilikatwa 1500
OkMm nimeshawahi jiunga. Nadhani ilikua week iliyopita. Typing error tu hyo. Nilikatwa 1500