Huyo mfugaji wako anajifunza, hayo wenzake wanajifadhi kwa ajili ya kulishia ndama kwa kuwa ndo maziwa yenye madini yote. Hata kwa binadam hayana madhara ukiachana na rangi na harufu yake1. Nitajuaje kuwa maziwa yamekuwa safi tayari kunywewa na binadamu kwa ngombe aliyezaa?
2. Yana athali gani binadamu kunywa madanga?
3. Kwanini huwa yanamwagwa ukikamua?