Naomba ufafanuzi kuhusu matokeo haya ya kidato cha nne

Hapana Mkuu madamLv. Kwa mara zote mbili, huyo nduguyo amepata daraja sifuri. Ili kupata daraja la nne au zaidi inampasa kufaulu kwa salama D mbili au C moja na kuendelea. Matokeo hayachanganywi kupata cheti kimoja.
 
sidhani hiyo kitu km itawezekana, kwasababu hilo somo alilorudia akapata D ni tofauti na D aliyoipata mwanzo, so tayari ana vyeti viwili tofauti anaweza kuwa na vyeti viwili/result slip mbili, but zinaonesha huku ana D moja, na kule ana D nyingine, but grades NECTA huwa wanazipanga kuanzia idadi fulani ya masomo, tena afanye/ kufaulu kwa pamoja, sio separate, km ndugu yako alivyofanya. Labda umshauri aendelee ku reseat afaulu atlist masomo matano au zaidi kwa mkupuo km unataka apewe grade.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi akapata cheti, sababu ni vikao viwili tofauti vya mtihani alivyokaa, zingekuwa hizo D mbili amezipata kwenye kikao kimoja, angepata cheti .

Sent using Jamii Forum's by simcard
 
Hakuna utaratibu wa hivyo .....angetaka anyerist masomo kuanzia 7 ,

Halafu anaoneka ni kilaza empty kichwani kabisa !! Yaani karisit halafu tena kaoata hivyo mwambie afanye mishe nuingine

sent from toyota Allex
 
Mkuu na result ya 4.28 unadhani ina nafasi yoyote kwenye kuendelea na masomo au kupata cheti?
Hapana Mkuu madamLv. Kwa mara zote mbili, huyo nduguyo amepata daraja sifuri. Ili kupata daraja la nne au zaidi inampasa kufaulu kwa salama D mbili au C moja na kuendelea. Matokeo hayachanganywi kupata cheti kimoja.
 
Mkuu na result ya 4.28 unadhani ina nafasi yoyote kwenye kuendelea na masomo au kupata cheti?
Ina nafasi. Kwa ngazi ya Astashahada, hiyo ni sifa ya kudahiliwa. Mhusika aweza kuanzia ngazi hiyo na kusonga mbele. Cheti huanzia 4.33 ambayo ni D mbili au C moja tu.
 
sasa mtu kama huyo anasoma ili iweje mfano?kama ni wakike mpeleke ufundi cherehani, kama ni wa kiume mpeleke garage akajifunze ufundi
 
Back
Top Bottom