uroto
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 438
- 218
Habari zenu wakuu,
Mwezi uliopita tulienda kijijini kumsalimia Mzee mmoja ambaye ni babu yetu
Baada ya siku 2 tukiwa shambani tuliona mti wa madodoki, ndipo mwenzangu akamuulza babu. Je, ni kweli dodoki lina ongeza ukubwa wa uume? Babu alisema hapana ila kuna mti unaoitwa myegi ambao unafanana na mdodoki,jioni alienda kutuonesha huo mti
Tulipo muuliza unafanyaje, akasema hutumii dawa ila unajichanja likiwa dogo,kadri linavyokuwa ndipo uume unaongezeka,
Leo hii hii mimi na rafiki yangu ambaye alijichanjia,amelikata lile myegi baada ya kuridhika na saizi anayoitaka na mimi nikiwa shuhuda
Swali nalojiuliza kisayansi,kuna uhusiano gani ukichanjia na ukuaji wa uume? Yaani hata usafiri mkoa mwingine,kama hujalikata,nao uume huongezeka,ni uchawi au sayansi?
Mwezi uliopita tulienda kijijini kumsalimia Mzee mmoja ambaye ni babu yetu
Baada ya siku 2 tukiwa shambani tuliona mti wa madodoki, ndipo mwenzangu akamuulza babu. Je, ni kweli dodoki lina ongeza ukubwa wa uume? Babu alisema hapana ila kuna mti unaoitwa myegi ambao unafanana na mdodoki,jioni alienda kutuonesha huo mti
Tulipo muuliza unafanyaje, akasema hutumii dawa ila unajichanja likiwa dogo,kadri linavyokuwa ndipo uume unaongezeka,
Leo hii hii mimi na rafiki yangu ambaye alijichanjia,amelikata lile myegi baada ya kuridhika na saizi anayoitaka na mimi nikiwa shuhuda
Swali nalojiuliza kisayansi,kuna uhusiano gani ukichanjia na ukuaji wa uume? Yaani hata usafiri mkoa mwingine,kama hujalikata,nao uume huongezeka,ni uchawi au sayansi?