Heshima zenu wakuu
Mara nyingi naona watu wakijaza magari yao full tank kwa kuinua tairi la nyuma upande wa tank ili lijae zaidi ya pale pump ilipokata mpaka yanaonekana karibu kumwagika na wakati mwingine wanatikisa gari ili mafuta yaingie zaidi. Je ni kweli mtindo huu huharibu gauge ya mafuta au pump (Kwa zile zilizomo ndani ya tank) au boya lililomo ndani ya tank?
Mara nyingi naona watu wakijaza magari yao full tank kwa kuinua tairi la nyuma upande wa tank ili lijae zaidi ya pale pump ilipokata mpaka yanaonekana karibu kumwagika na wakati mwingine wanatikisa gari ili mafuta yaingie zaidi. Je ni kweli mtindo huu huharibu gauge ya mafuta au pump (Kwa zile zilizomo ndani ya tank) au boya lililomo ndani ya tank?