BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Habari ndugu zangu,
Kwanza kabisa nitoe shukrani zangu za dhati kwa wanasheria wote mliopo humu jukwaani. Kwa kifupi nilipata elimu humu jinsi ya kumpata mtoto wangu toka kwa mama yake baada ya kutimiza miaka saba.
Sasa nilikwenda mahakama ya mwanzo na kufanikiwa kukabidhiwa mwanangu. Sasa limekuja suala jipya kuwa yule mama wa mtoto ananiambia amekata rufaa.
Na mtoto nimekabidhiwa tarehe 12 Desemba 2019. Sasa naomba kufahamu kuwa kuna uwezekano wa kukata rufaa kwa suala kama hili maana huyo mama wa mtoto ananipigia tu simu kuwa nijiandae amekata rufaa wakati mpaka sasa karibu mwezi unaisha.
Au ananitisha tu.
Lakini siogopi chochote.
Msaada wa kisheria wakuu.
Msaada wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa nitoe shukrani zangu za dhati kwa wanasheria wote mliopo humu jukwaani. Kwa kifupi nilipata elimu humu jinsi ya kumpata mtoto wangu toka kwa mama yake baada ya kutimiza miaka saba.
Sasa nilikwenda mahakama ya mwanzo na kufanikiwa kukabidhiwa mwanangu. Sasa limekuja suala jipya kuwa yule mama wa mtoto ananiambia amekata rufaa.
Na mtoto nimekabidhiwa tarehe 12 Desemba 2019. Sasa naomba kufahamu kuwa kuna uwezekano wa kukata rufaa kwa suala kama hili maana huyo mama wa mtoto ananipigia tu simu kuwa nijiandae amekata rufaa wakati mpaka sasa karibu mwezi unaisha.
Au ananitisha tu.
Lakini siogopi chochote.
Msaada wa kisheria wakuu.
Msaada wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app