Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,791
- 1,940
Habari wana jamvi,
Naombeni kuuliza au kupata ufafanuzi kwa wanaofahamu haya mambo au waliopitia hizi heka heka za serikali na mifumo ya sheria zetu za Tanzania.
Hivi inakuwa mtu unakiwanja na ulisha kilipia, kimepimwa vizuri na kina hati ya umiliki, ila unapotaka kujenga serikali inakuja kuweka zuio mpaka uwe na kibari cha ujenzi na gharama ya kibari cha ujenzi sio ya kitoto. Shida ipo wapi jamani kwa nchi yetu ya Tanzania.
Naombeni ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wa haya mambo au kwa yeyote aliyewahi kukutana nalo hili.
Asanteni.
Naombeni kuuliza au kupata ufafanuzi kwa wanaofahamu haya mambo au waliopitia hizi heka heka za serikali na mifumo ya sheria zetu za Tanzania.
Hivi inakuwa mtu unakiwanja na ulisha kilipia, kimepimwa vizuri na kina hati ya umiliki, ila unapotaka kujenga serikali inakuja kuweka zuio mpaka uwe na kibari cha ujenzi na gharama ya kibari cha ujenzi sio ya kitoto. Shida ipo wapi jamani kwa nchi yetu ya Tanzania.
Naombeni ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wa haya mambo au kwa yeyote aliyewahi kukutana nalo hili.
Asanteni.