Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,380
- 4,705
Utapeli ukizidi ni ishara ya ukosefu wa michongo halali mtaani.
Wap nimetukana mkuu?maana sijaongea matusi nashukuru pia kwa ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwiliSasa nikufundishe kitu Israel. Usipende kutukana watu. Jizuie kabisa kuwaambia watu maneno ya kuudhi au matusi hata huwaoni au hamjuani. Itakusaidia sna katika maisha yako
naomba unionyeshe wap nimetukana mkuuIla ujuwe, ukimtukana mmoja, ni kama umetukana wote. Hakuna anayesubiria atukanwe yeye ndo aone wewe una matusi
Mara hii umesahau kuwa uliniambia sina adabu?Wap nimetukana mkuu?maana sijaongea matusi nashukuru pia kwa ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwili
Basi ni Siri...Nimechek google hakuna info yao wala website