Seeker Seeker
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 213
- 298
Habari naomba huu uzi tuelimishane kuhuusu ukosefu wa mbegu za kiume na kutosimamisha vizuri, kunaweza leta ukosefu wa kupata mtoto kwa Wanaume.
Leo kuna Rafiki yangu kaenda Kwenye herbal Clinic hizi , akaambiwa atapewa dawa ,ambazo ni supplements nyingne ya kurejesha urijali , Maana hapa alikubuhusu sana kwenye pombe kali 15 years , so nguvu hazipo za kutosha na Nyingine ni za bawasiri ( hapa nikamuuliza una bawasiri?) akasema Doctor ndo alivomshauri , zote zinacost kama 400,000 na za uzazi!
Hili swala la supplements hazitaleta effects baadae mana amesema zipo katika mfumo wa Tabs (vidonge)
Nawasilisha
Leo kuna Rafiki yangu kaenda Kwenye herbal Clinic hizi , akaambiwa atapewa dawa ,ambazo ni supplements nyingne ya kurejesha urijali , Maana hapa alikubuhusu sana kwenye pombe kali 15 years , so nguvu hazipo za kutosha na Nyingine ni za bawasiri ( hapa nikamuuliza una bawasiri?) akasema Doctor ndo alivomshauri , zote zinacost kama 400,000 na za uzazi!
Hili swala la supplements hazitaleta effects baadae mana amesema zipo katika mfumo wa Tabs (vidonge)
Nawasilisha