Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,351
- 1,930
Wakuu nimeshtushwa na kilio cha mbwa aliyekua analia katikati ya barabara inayotazamana na ninapoishi. Baada ya kufanya maombi kama dakika tatu hivi nikafungua mlango kutoka nje, nikakutana na harufu ya udi, kisha baada ya muda kidogo sauti ya yule mbwa ikaanza kufifia taratibu.
Baada ya kuingia ndani yule mbwa aliondoka zake. Sasa ninachoshangaa hapa, nyumba za watu wengine mbwa wanapokezana kulia na kubweka kwa nguvu sana tena kwa kufululiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuingia ndani yule mbwa aliondoka zake. Sasa ninachoshangaa hapa, nyumba za watu wengine mbwa wanapokezana kulia na kubweka kwa nguvu sana tena kwa kufululiza.
Sent using Jamii Forums mobile app