Alvah
Member
- May 20, 2020
- 54
- 25
Baada ya Rais JPM kukabidhi ndege Tausi kwa Wastaafu Kikwete, Mkapa, Mwinyi, Na Mama Maria.
Nimejiuliza hivi ndege Tausi analiwa? Au ni mapambo tu?
Lakini pia Mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki huyu ndege? Nimeuliza maana Rais amewakabidhi hati ya umiliki kwa ndege hao.
Nimejiuliza hivi ndege Tausi analiwa? Au ni mapambo tu?
Lakini pia Mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki huyu ndege? Nimeuliza maana Rais amewakabidhi hati ya umiliki kwa ndege hao.