emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 913
Nilikuwa muajiriwa kwenye kampuni ya vodacom, chini ya recruiting agency Erolink toka 2016 mpaka march 2017. Toka kipindi hicho Erolink hakuwahi kuweka pesa kwenye mfuko wa pension licha ya kufungua na kutoa namba mapema, mfuko ni NSSF.
Nimefuatilia kwa muajiri amekuwa akinipiga chenga kwa kusema michango alikosea akapeleka PPF, huko nako nimeenda na wamesema muajiri apeleke CONTROL NUMBER NA LEDGER.
Nilimuambia muajiri hivo vitu vinahitajika na ni mwezi wa tano sasa na nikimpigia ameniweka black list. NSSF nimeenda sana wanasema fuatilia kwa muajiri wako.
Naomba kujua njia au wapi naweza kwenda kupata ufumbuzi kwenye hii tatizo na maelekezo mengine.
Nimefuatilia kwa muajiri amekuwa akinipiga chenga kwa kusema michango alikosea akapeleka PPF, huko nako nimeenda na wamesema muajiri apeleke CONTROL NUMBER NA LEDGER.
Nilimuambia muajiri hivo vitu vinahitajika na ni mwezi wa tano sasa na nikimpigia ameniweka black list. NSSF nimeenda sana wanasema fuatilia kwa muajiri wako.
Naomba kujua njia au wapi naweza kwenda kupata ufumbuzi kwenye hii tatizo na maelekezo mengine.