edger jairos
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 335
- 71
Habari,
Naomba kujua nasikia gesi kama mafut katika gari ni Bora zaid kuliko petrol/ diesel(mafuta).
Je, kuna uzuri wa hii kitu haina madhara?
Kiuchumi na kiusalama?
Msaad wadau.
Naomba kujua nasikia gesi kama mafut katika gari ni Bora zaid kuliko petrol/ diesel(mafuta).
Je, kuna uzuri wa hii kitu haina madhara?
Kiuchumi na kiusalama?
Msaad wadau.