Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,762
- 24,181
wakuu kuna jamaa ametangaza kuwa anauza laptop za mtumba picha hapo chini. Je, zinaweza kuwa na ubora? ..kwa wazoefu mnisaidieView attachment 1642779View attachment 1642780
Unaonaje ukamsaidia kununua mkuu akakuachia ya maji? Me mwenyew natamani ninunue pc mwakani ila elimu ya kununulia ni tatizo.Hizo computer zote ni model za zamani sana. Yaani miaka ya 2005 hadi 2007.
Hata kama amebadilisha processor hazitakuwa effective. Ingawa bei ni sawa na zilivyo ila kama unaweza jiongeze ili upate mtumba wa miaka ya karibuni.
Sidhani kama tatizo la mtoa mada elimu ya hizo device bali Pesa maana hata mimi nazijua simu vibaya sana ila nina Tecno N2Unaonaje ukamsaidia kununua mkuu akakuachia ya maji? Me mwenyew natamani ninunue pc mwakani ila elimwu ya kununulia ni tatizo.
Usinunue pc kwa kuangalia ram na hdd. Processor ni muhimu zaidi.wakuu kuna jamaa ametangaza kuwa anauza laptop za mtumba picha hapo chini. Je, zinaweza kuwa na ubora? ..kwa wazoefu mnisaidieView attachment 1642779View attachment 1642780View attachment 1642781
Shukran mkuuHizo computer zote ni model za zamani sana. Yaani miaka ya 2005 hadi 2007.
Hata kama amebadilisha processor hazitakuwa effective. Ingawa bei ni sawa na zilivyo ila kama unaweza jiongeze ili upate mtumba wa miaka ya karibuni.
Tupe madini kidogo hapo mkuuUsinunue pc kwa kuangalia ram na hdd. Processor ni muhimu zaidi.
Ungejua processor husika ungefanya maamuzi mazuri zaidi.
Sababu ram na HDD vinaongezeka, mtu anaweza akatafuta laptop kimeo ya miaka 10 iliopita akaongeza ram hadi 8gb ama 16gb na hdd 1TB akakupiga bei ndefu.Tupe madini kidogo hapo mkuu
NotedSababu ram na HDD vinaongezeka, mtu anaweza akatafuta laptop kimeo ya miaka 10 iliopita akaongeza ram hadi 8gb ama 16gb na hdd 1TB akakupiga bei ndefu.