Mkuu usiasahau na KIA pale mwalimu aliagiza pajengwe uwanja wa ndege kuna tanzanite mbuguni cha mtoto.mkuu hayo madini yalikuwepo tangu mkoloni lakini baada ya uhuru wachimbaji ambao walikuwa wageni waliondoka na mwalimu kwa busara zake alijenga gereza ili watu wasisogelee. ni sawa na ilivyokuwa bulombola jkt na buhemba. haya yalijengwa juu ya dhahabu ila kwa kupenda kula bila kunawa maeneo hayo yalibinafsishwa na tumeachiwa mashimo
Sasa mbona kazi yake kama gas barafu iliyogunduliwa ngorongoro! Mkuu usije ukawa unachanganya madawa!Yanapatikana sehemu zaidi ya 4 nchi kama Brazil,Russia,Canada.Zaire na Nigeria yapo hayo. Yanatumika ktk sehemu tofauti kama kwenye MRI Scanner, space rocket na pia ktk utengenezaji wa gas pipe
Kwa nini mnafikiria sana mlo mmoja? Kwani kula kil saa ndio maendeleo au?Me naona ni bora yangeendelea kubaki hapohapo chini,mpaka Taifa lipate uhuru mwingine wa kifikra.Na kumbuka nchi hii ni nchi pekee Duniani wananchi wake wanaishi juu ya dhahabu lakini wanashindia mlo mmoja.Yaani nchi yote hii ni madini tupu kama ile Yerusalemu ya kwenye ufunuo kama wewe ni msomaji wa Biblia.
Crocodile, Heijah...,
Hii ndio mijadala inayotakiwa haswaa..., huku JF
Naomba wana JF wenye uelewa wa mambo haya wajitokeze wayazungumze mambo ya uwekezaji wa madini yetu ili na sisi wengine tuyajue...
Elimu elimu elimu...., huenda tukipata elimu kuhusu mambo haya sisi wenyewe tutaweza kuwekeza ktk uchimbaji na uuzaji wa madini yetu wenyewe....
Naona hiyo comment yangu imekuzidi umri.Kwa nini mnafikiria sana mlo mmoja? Kwani kula kil saa ndio maendeleo au?
Ct scan na MRI ni hellium ambayo imegundulika bonde la ziwa rukwa.ila hii nobium ni njia ya kuelekea tunduma maeneo ya panda hill.Baada ya ku Google inatumika kwy gas pipeline, kuongezea ugumu kwenye metal Na form ya chemical.lkn sio kwy CT scan Na MRI
Sio rukwa ni ngorongoroCt scan na MRI ni hellium ambayo imegundulika bonde la ziwa rukwa.ila hii nobium ni njia ya kuelekea tunduma maeneo ya panda hill.
Hapana ni ziwa rukwa mkuu .fatilia hata kwene habariSio rukwa ni ngorongoro