Habari wana jf wote,
Leo naomba kuuliza waliowahi kumiliki au kutengeneza gari aina ya Isuzu bighoun kujua yafuatayo:-
1. Uimara wake.
2. Matatizo yake/magonjwa yanayosumbu
a mara kwa mara.
3. Ulaji wa mafuta na ni cc ngapi.
4. Upatikanaji wa spare zake.
Naomba kuwasilisha.