Naomba ufafanuzi kuhusu ajira kwa mtu aliyesoma kozi ya Public Relations and Marketing

shamp

JF-Expert Member
Jan 22, 2017
225
213
Wakuu suala zima ni la ajira kwamba siku hizi ajira kila sekta ni ngumu lakini pia nataka kuuliza ikitokea mtu amemaliza degree ya Public Relations and Marketing anaweza omba kazi sehemu zipi anaposubili ajira serikalin?

Na ni short course ipi anayoweza kuisomea akiwa amemaliza degree yake ata ya miez mitatu ambayo anaweza tafutia kazi?

Pia naombeni msaada wajuzi wa mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaweza Kuomba kazi karibu kwenye taasisi zote zinazohusiana na mambo ya biashara na Mawasiliano.

Mfano Makampuni ya Mitandao ya simu yote. (Airtel, Vodacom, Halotel na nk).
Anaweza akaomba kazi Mahotelini( Star Levels Hotels).

Kwenye Vituo vya Redio na Television pia.
 
Anaweza Kuomba kazi karibu kwenye taasisi zote zinazohusiana na mambo ya biashara na Mawasiliano.
Mfano Makampuni ya Mitandao ya simu yote.(Airtel,Vodacom,Halotel na nk).
Anaweza akaomba kazi Mahotelini( Star Levels Hotels).
Kwenye Vituo vya Redio na Television pia.
Pia makampuni ya vinywaji kama Pepsi, Cocacola, TBL kifupi ni moja ya degree yenye uwanja mkubwa sana wa ajira.
 
Kozi haina dili hii usidanganywe kuwa utakuwa na uwanja mpana sijui kwenye redio stations, makampuni ya simu, makampuni ya Bia, mahoteli,nk

Kazi zenu hizo zinaweza kufanywa na mtu yoyote aliyesomea fani za social sciences hamna specialized skills kama Udaktari kwamba ni lazima uweze kutibu.
 
Kozi haina dili hii usidanganywe kuwa utakuwa na uwanja mpana sijui kwenye redio stations, makampuni ya simu, makampuni ya Bia, mahoteli,nk

Kazi zenu hizo zinaweza kufanywa na mtu yoyote aliyesomea fani za social sciences hamna specialized skills kama Udaktari kwamba ni lazima uweze kutibu.
Basi usiichukulie hii kama hasara tu, bali pia ni faida. Ina wigo mkubwa wa kazi na una faida kubwa ya kupata ajira kama network yako pia ni kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kozi haina dili hii usidanganywe kuwa utakuwa na uwanja mpana sijui kwenye redio stations, makampuni ya simu, makampuni ya Bia, mahoteli,nk

Kazi zenu hizo zinaweza kufanywa na mtu yoyote aliyesomea fani za social sciences hamna specialized skills kama Udaktari kwamba ni lazima uweze kutibu.
uko sahihi sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kozi haina dili hii usidanganywe kuwa utakuwa na uwanja mpana sijui kwenye redio stations, makampuni ya simu, makampuni ya Bia, mahoteli,nk

Kazi zenu hizo zinaweza kufanywa na mtu yoyote aliyesomea fani za social sciences hamna specialized skills kama Udaktari kwamba ni lazima uweze kutibu.

Badili mtazamo wako broh! Nyinyi ndo mnawapa watu waliosoma journalism wafanye kazi za Public relations mwisho wa siku wanashindwa kuendana na ethics na principals za Pr.

Jua tu kwamba Pr ni proffession yenye ethics na pillars zake na sio kila mwenye fani ya social science anaweza kuifanya inavyopaswa kama Pro.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom