Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Habari,
Kuna swala huwa silielewi kwenye macho yangu,
Macho yangu huwa yana change color, yanakuwa red hasa kipindi nikiwa katika maandalizi ya kugegeda au katika tendi lenyewe.. ila baada ya mda fulani baada ya tendo, yana rudi katika hali ya kawaida.
Sasa sijajua , hii husababishwa na nini, na tiba yake ni ipi?
Yani, in short nikiwa kwenye mazingira ya kufanya mapenz, ndio hali inakuwa hivyo,
Karibuni.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna swala huwa silielewi kwenye macho yangu,
Macho yangu huwa yana change color, yanakuwa red hasa kipindi nikiwa katika maandalizi ya kugegeda au katika tendi lenyewe.. ila baada ya mda fulani baada ya tendo, yana rudi katika hali ya kawaida.
Sasa sijajua , hii husababishwa na nini, na tiba yake ni ipi?
Yani, in short nikiwa kwenye mazingira ya kufanya mapenz, ndio hali inakuwa hivyo,
Karibuni.
Sent from my iPhone using JamiiForums