heavyload
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 900
- 497
Napata changamoto juu ya kauli hii ya Mh waziri wa nishati kuwa wananchi nchi nzima hawapaswi kulipia nguzo ili kusambaziwa umeme. Mbona bado tunaambiwa tulipie nguzo kwa mfano huku chamwino watu wanashindwa kuingiza umeme kwa kigezo cha nguzo kuwa na gharama kubwa?
Au hii kauli ya waziri inawahusu wananchi gani?
Naomba ufafanuzi wakuu kwa mwenye ufahamu juu ya hili
Au hii kauli ya waziri inawahusu wananchi gani?
Naomba ufafanuzi wakuu kwa mwenye ufahamu juu ya hili