Tmlekwa
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 257
- 236
Kuna hali hua inanitokea mara moja moja ninapokua nashuka kwenye gari nikishika mlango nakua nahis kama nimepigwa short hivi,s0me times hata nikishika kitu chenye asili ya bati.
Je, hii inaweza kua tatizo gan? NB gari haina short yoyote hilo nina uhakika. Pia situmii gar moja kila gar ninalotumia hali hio hutokea na si mara zote hutokea ni mara mojamoja
Je, hii inaweza kua tatizo gan? NB gari haina short yoyote hilo nina uhakika. Pia situmii gar moja kila gar ninalotumia hali hio hutokea na si mara zote hutokea ni mara mojamoja