Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1-Alfajir=ukianza sikia adhana asubui hiyo ndiyo alfajiri
2-asubui=kukianza kupambazuka na jua kutoka
3-Mchana=baada ya saa sita mchana(yaani kuanzia sala ya Adhuhuri)
4-Alasir=kuanzia sala ya alasri(saa 10-12
5-jioni=ni magharibi(saa 12-mpaka kupotea juwa)
6-Usiku=Baada ya kuingia giza ndio usiku unaanza
7-usiku wa manane=baada ya saa 6 usiku mpaka alfajiri
All the best
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
Asante mkuu but kuna sehemu wanaweza kukaa miezi wasione jua.
inategemea na nchi kwa NchiKwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
Kwa maelezo yako SAA 11 ni alasiri? Hii mupya!!!Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
We kiumbe umesahau dawa zako eti.... Kibongobongo hatuna masaa 24.... Mbona kaeleza vizuri tu .... Embu Fanya kunywa mtindi upunguze kitambi
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
Kwa uelewa wangu alasiri inaanza saa nane hadi saa kumi na moja, jioni ni kuanzia saa kumi na moja hadi saa moja baada ya hapo ndipo inaanza usiku. Usiku wa manane ni saa sita usiku hadi saa tisa usiku. Alfajiri ni kuanzia saa tisa usiku hadi saa kumi na moja usiku, macheo ni kuanzia saa 11 usiku hadi saa 12 jua linapoanza kuchomoza, asubuhi ni kuanzia saa 12 hadi saa sita mchana. Adhuhuri ni kuanzia saa sita mchana hadi saa nane na pia kuna machweo ambayo uanzia saa 12 jioni hadi saa moja usiku jua linapozama.Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
Inategemea upo mji upi duniani. Nyakati na saa hazilingani.Ni kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi kwa nyakati hizo?
Du kumbe mtindi unapunguza kitambiWe kiumbe umesahau dawa zako eti.... Kibongobongo hatuna masaa 24.... Mbona kaeleza vizuri tu .... Embu Fanya kunywa mtindi upunguze kitambi