Naomba ufafanuzi – alfajiri, asubuhi, mchana, alasiri, jioni, usiku, usiku wa manane

Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
 
1-Alfajir=ukianza sikia adhana asubui hiyo ndiyo alfajiri

2-asubui=kukianza kupambazuka na jua kutoka

3-Mchana=baada ya saa sita mchana(yaani kuanzia sala ya Adhuhuri)

4-Alasir=kuanzia sala ya alasri(saa 10-12

5-jioni=ni magharibi(saa 12-mpaka kupotea juwa)

6-Usiku=Baada ya kuingia giza ndio usiku unaanza

7-usiku wa manane=baada ya saa 6 usiku mpaka alfajiri

All the best
 
1-Alfajir=ukianza sikia adhana asubui hiyo ndiyo alfajiri

2-asubui=kukianza kupambazuka na jua kutoka

3-Mchana=baada ya saa sita mchana(yaani kuanzia sala ya Adhuhuri)

4-Alasir=kuanzia sala ya alasri(saa 10-12

5-jioni=ni magharibi(saa 12-mpaka kupotea juwa)

6-Usiku=Baada ya kuingia giza ndio usiku unaanza

7-usiku wa manane=baada ya saa 6 usiku mpaka alfajiri

All the best

Asante mkuu but kuna sehemu wanaweza kukaa miezi wasione jua.
 
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.

katikati ya hiyo kasoro na kamili panaitwaje?
 
Asante mkuu but kuna sehemu wanaweza kukaa miezi wasione jua.


Fuata vipindi vitano vya SWALA, ambapo wataalam wa kiislam wameanzisha pray time, kama vile Europe na nchi nyingine na pia TZ

Simply futatilia taratibu za swala

Alfajri, ikiisha time yake ndio inaanza
Asubui, inapoingia swalat Dhuhri, inaisha inapo anza salat elasri, wakati wa elasri unaisha inapo ingia salat Maghrib
Usiku unaingia ianzapo salt el-Ishaaa
Usiku wa manane ni kuanzia kubadilika usiku yaani saa 6 usiku

Asante mkuu,
 
Sala ya Alfajir ni wakati tofauti kati ya nchi na nchi vizuri kufuata prayer time kwani hapa Foha Qatar kuna muda saa tisa na robo usiku au tisa na nusu tunasali Alfajir na Wakati mwengine saa 11Alfajir basi vizuri kufuata majira ya nchi
 
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
inategemea na nchi kwa Nchi
 
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
Kwa maelezo yako SAA 11 ni alasiri? Hii mupya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.


Umesahau adhuhuri
 
Kwa uelewa wangu.
Alfajiri: sa 11 kasoro hadi 12 kasoro
asubuh: sa 12 hadi sa 5:59
mchana: sa 6 hadi sa 9 kasoro.
Alasiri: sa 9 hadi 12 kasoro
Jioni: sa 12 kamili hadi sa mbili kasoro.
Usiku unaanzia sa mbili hadi alfajiri ila usiku wa manane ni masaa machache kabla ya alfajiri.
Kwa uelewa wangu alasiri inaanza saa nane hadi saa kumi na moja, jioni ni kuanzia saa kumi na moja hadi saa moja baada ya hapo ndipo inaanza usiku. Usiku wa manane ni saa sita usiku hadi saa tisa usiku. Alfajiri ni kuanzia saa tisa usiku hadi saa kumi na moja usiku, macheo ni kuanzia saa 11 usiku hadi saa 12 jua linapoanza kuchomoza, asubuhi ni kuanzia saa 12 hadi saa sita mchana. Adhuhuri ni kuanzia saa sita mchana hadi saa nane na pia kuna machweo ambayo uanzia saa 12 jioni hadi saa moja usiku jua linapozama.

Pamoja na mgawanyiko huo lakini bado makundi makuu ya siku nzima yatabaki kuwa mawili tu ambayo ni usiku na mchana maana ukizungumzia mchana ni muda wote wa siku panapokuwa na mwanga wa jua na usiku ni muda wote kunapokuwa na giza.
 
Kwanza nimewasikia wengi humu wanakosea sanaaa, Kiswahili fasaha NI USIKU WA MAANANI na SI USIKU WA MANANE yaani usiku wa M/Mungu kwa sababu ya utulivu wa usiku huo, kila kitu kimetulia, viumbe wengi wamelala nusu ya kufa..
swali jepesi kwa nini kusiwe na USIKU WA MASABA au USIKU WA MATISA? n.k

NOTE: Majibu ya msingi yameshajibiwa na wachangiaji wengine, lengo langu kurekebisha tu hapo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom