Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,735
- 5,967
Kumbuka hata Abraham alipimwa Imani yake kwa kumtoa mtoto wa pekee, lkn alipoishinda Imani yake aliongezewa uzao pia,... Yesu anatufundisha siri ya mafanikio,. Si kwamba angeuza mali akaigawa angekuwa maskini, hapana, angeongezewa zaidi ya kile alichokiuza.. Sasa utaona alionyesha Imani yake pasi na matendo katika amri Ile ya mpende jirani yako kama nafsi yako..
Mathayo 19:29 Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.
Mathayo 19:29 Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.