crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Ukisoma katika luka 18:18-27 kuna kisa cha kijana tajiri na yesu. Kijana anataka kuingia katika ufalme wa mungu na kazishika amri zote tangu utoto wake. Lakini yesu anamwambia ili aupate ufalme wa mungu basi auze mali zake zote na kuwagawia maskini kisha amfuate. Kijana anaondoka kwa masikitiko kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?
definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??
mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,
maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?
definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??
mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,