Naomba ufafanunuzi juu ya kisa cha tajiri na yesu(luka 18:18-27)

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Ukisoma katika luka 18:18-27 kuna kisa cha kijana tajiri na yesu. Kijana anataka kuingia katika ufalme wa mungu na kazishika amri zote tangu utoto wake. Lakini yesu anamwambia ili aupate ufalme wa mungu basi auze mali zake zote na kuwagawia maskini kisha amfuate. Kijana anaondoka kwa masikitiko kwa sababu alikuwa na mali nyingi.

maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?

definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??

mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,
 
Ndo wazungu hao walituletea ujinga huo, Haiingii akilini utoe mali zako kwa mwingine we u aki mtupu, na maisha haya uuze nyumba umpe maskini wewe ubaki maskini. Mbona haimake sense au sijaelewa, ukibaki huna kitu unaishije ? Kesho ukiugua uchangiwe au ndo ufanyiwe maombi?.
 
Ukisoma katika luka 18:18-27 kuna kisa cha kijana tajiri na yesu. Kijana anataka kuingia katika ufalme wa mungu na kazishika amri zote tangu utoto wake. Lakini yesu anamwambia ili aupate ufalme wa mungu basi auze mali zake zote na kuwagawia maskini kisha amfuate. Kijana anaondoka kwa masikitiko kwa sababu alikuwa na mali nyingi.

maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?

definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??

mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,
Binadamu tuna ishi kwenye dunia mbili ya kwanza Dunia ya Kimwili ya pili Dunia ya Kiroho.
Katika Dunia hizi Mbili Utajiri unatakiwa hili kuweza ishu na kutumikia Mungu na Jirani zetu.
Hapa kijana alikuwa anaambiwa kuuza mali zake zote zile za Kiroho kama vile majivuno, Uchoyo, Roho mbaya ili aweze mtumikia Mungu wake kikamilifu. Aingii akili kuwa auze Mifugo, Mashamba n.k ili aweze mtumikia Mungu wakati Mungu uwabariki watu wake kwa Utajiri wa mali mbalimbali zikiwemo Mifugo mashamba na mengineyo
 
Ukisoma katika luka 18:18-27 kuna kisa cha kijana tajiri na yesu. Kijana anataka kuingia katika ufalme wa mungu na kazishika amri zote tangu utoto wake. Lakini yesu anamwambia ili aupate ufalme wa mungu basi auze mali zake zote na kuwagawia maskini kisha amfuate. Kijana anaondoka kwa masikitiko kwa sababu alikuwa na mali nyingi.

maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?

definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??

mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,
Soma vizuri Biblia yako.

Mfano wa Msamaria mwema

Luka 10
25Baadaye mwanasheria mmoja alisimama, akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uhai wa milele?” 26Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?” 27Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.” 28Yesu akamwambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?” 30Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu. 31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando. 32Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando. 33Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma. 34Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai na kuyafunga; halafu akampandisha juu ya punda wake, akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamwuguza. 35Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, ‘Mwuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.’” 36Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?” 37Yule mwalimu wa sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo


Hawa jamaa walikuwa wanamtega Yesu
 
Binadamu tuna ishi kwenye dunia mbili ya kwanza Dunia ya Kimwili ya pili Dunia ya Kiroho.
Katika Dunia hizi Mbili Utajiri unatakiwa hili kuweza ishu na kutumikia Mungu na Jirani zetu.
Hapa kijana alikuwa anaambiwa kuuza mali zake zote zile za Kiroho kama vile majivuno, Uchoyo, Roho mbaya ili aweze mtumikia Mungu wake kikamilifu. Aingii akili kuwa auze Mifugo, Mashamba n.k ili aweze mtumikia Mungu wakati Mungu uwabariki watu wake kwa Utajiri wa mali mbalimbali zikiwemo Mifugo mashamba na mengineyo
BIG NO,
 
Ukisoma katika luka 18:18-27 kuna kisa cha kijana tajiri na yesu. Kijana anataka kuingia katika ufalme wa mungu na kazishika amri zote tangu utoto wake. Lakini yesu anamwambia ili aupate ufalme wa mungu basi auze mali zake zote na kuwagawia maskini kisha amfuate. Kijana anaondoka kwa masikitiko kwa sababu alikuwa na mali nyingi.

maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?

definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??

mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,
Ni kwamba sio kweli kamba matajiri wote hawataweza kuingia katika ufalme wa mbingu
Kwa mfano
Suleiman alikuwa ni tajiri, je hataweza kuingia katika ufalme wa mbingu?
Ayubu nae alikuwa tajiri nae hataweza kuingia? Na Abraham je?

Unaweza kuwa tajiri na ukaenda katika ufalme wa mbinguni ni matendo yako ndio yataamua uende wapi



Na mwisho yapi mambo mengi sana ambayo sisi kwa uweza wetu wa kibinadamu hatuyawezi na pia ni magumu sana kiasi kwamba tunashindwa kuyafanya
Ila kwake yeye yanawezeoana mambo yoote ambayo sisi tuliyashindwa na hatuyajui
Yer33:3
 
Ndo wazungu hao walituletea ujinga huo, Haiingii akilini utoe mali zako kwa mwingine we u aki mtupu, na maisha haya uuze nyumba umpe maskini wewe ubaki maskini. Mbona haimake sense au sijaelewa, ukibaki huna kitu unaishije ? Kesho ukiugua uchangiwe au ndo ufanyiwe maombi?.
Hili la Umasikini na Utajiri ni suala la dhana zaidi kuliko uhalisia.

Hebu jiulize kwanza utajiri ni nini na umasikini ni nini...alafu rudi kwenye mahitaji ya msingi ya Binaadamu, Chakula, makazi na mavazi.

Sasa je utajiri ni kupata hayo mahitaji ya msingi au kupata hayo mahitaji na hata ziada yake?.

Tajiri mara nyingi ni Mtu ambaye anatamani mara zote yeye awe na mahitaji hayo zaidi ya wengine, kama ni nyumba , mavazi n.k.

Pamoja na kuwepo hayo maandiko lakini bado ni ngumu sana kwa Binaadamu kuyaishi maana mengi yanakinzana na tamaa za kibinaadamu...fahari ya Binaadamu ni kujiona anamzidi mwenzake na hapa ndipo inapokuja dhana ya utajiri na umasikini.

Kwa mfano Watu mmekusanyika mahali kikaletwa chakula, wengi watatamani wapate zaidi ya wengine...na kama hakutakuwa na mpango maalumu wa kuhakikisha chakula kinagawiwa sawa wapo watakaokosa au kuambulia makombo...na walioshiba na kusaza watajigamba kuwa wao wametumia akili.

Kwa dhana hii ya utajiri Mtu haridhiki hata akijenga nyumba ya matofali ya dhahabu tupu, bado atataka nyumba ya almasi.
 
Ni kwamba sio kweli kamba matajiri wote hawataweza kuingia katika ufalme wa mbingu
Kwa mfano
Suleiman alikuwa ni tajiri, je hataweza kuingia katika ufalme wa mbingu?
Ayubu nae alikuwa tajiri nae hataweza kuingia? Na Abraham je?

Unaweza kuwa tajiri na ukaenda katika ufalme wa mbinguni ni matendo yako ndio yataamua uende wapi
suleimani tena??? Anyways toa ufafanuzi kwa mujibu wa kisa hapo juu.
 
Orodha ya matajiri ndani ya Biblia.

1. Ibrahimu
2. Ayubu
3. Suleiman
4. Melkizedeki Mfalme wa Salemu
5. Nebukadreza Mfalme wa Babeli.

Hao wote walikuwa watumishi wa Mungu.

Utajiri haukufanyi usiende peponi Ila namna unavyoupata na kuutumia ndio vinaweza kukupeleka Motoni.

Hata umasikini pia ni hivyohivyo.

Mungu mwenyewe ni Tajiri
 
Soma vizuri Biblia yako.

Mfano wa Msamaria mwema

Luka 10
25Baadaye mwanasheria mmoja alisimama, akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uhai wa milele?” 26Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?” 27Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.” 28Yesu akamwambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?” 30Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu. 31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando. 32Hali kadhalika na Mlawi

Hujajibu swali mkuu
 
Ndo wazungu hao walituletea ujinga huo, Haiingii akilini utoe mali zako kwa mwingine we u aki mtupu, na maisha haya uuze nyumba umpe maskini wewe ubaki maskini. Mbona haimake sense au sijaelewa, ukibaki huna kitu unaishije ? Kesho ukiugua uchangiwe au ndo ufanyiwe maombi?.
Rubbish
 
Binadamu tuna ishi kwenye dunia mbili ya kwanza Dunia ya Kimwili ya pili Dunia ya Kiroho.
Katika Dunia hizi Mbili Utajiri unatakiwa hili kuweza ishu na kutumikia Mungu na Jirani zetu.
Hapa kijana alikuwa anaambiwa kuuza mali zake zote zile za Kiroho kama vile majivuno, Uchoyo, Roho mbaya ili aweze mtumikia Mungu wake kikamilifu. Aingii akili kuwa auze Mifugo, Mashamba n.k ili aweze mtumikia Mungu wakati Mungu uwabariki watu wake kwa Utajiri wa mali mbalimbali zikiwemo Mifugo mashamba na mengineyo
Haelewi
 
Orodha ya matajiri ndani ya Biblia.

1. Ibrahimu
2. Ayubu
3. Suleiman
4. Melkizedeki Mfalme wa Salemu
5. Nebukadreza Mfalme wa Babeli.

Hao wote walikuwa watumishi wa Mungu.

Utajiri haukufanyi usiende peponi Ila namna unavyoupata na kuutumia ndio vinaweza kukupeleka Motoni.

Hata umasikini pia ni hivyohivyo.

Mungu mwenyewe ni Tajiri
twende specifically katika mfano tajwa hapo juu.
 
Soma vizuri Biblia yako.

Mfano wa Msamaria mwema

Luka 10
25Baadaye mwanasheria mmoja alisimama, akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uhai wa milele?” 26Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?” 27Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.” 28Yesu akamwambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?” 30Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu. 31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando. 32Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando. 33Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma. 34Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai na kuyafunga; halafu akampandisha juu ya punda wake, akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamwuguza. 35Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, ‘Mwuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.’” 36Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?” 37Yule mwalimu wa sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo


Hawa jamaa walikuwa wanamtega Yesu
Good
 
Back
Top Bottom