airwing
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 306
- 397
Natumaini ndg zangu Ni wazima, poleni na majukumu ya kikazi na familia.
Nina tatizo liloanza siku ya 3 leo nasumbuliwa na maumivu ya kifua upande wa kulia nasikia maumivu zaidi nikifuta hewa kwa nguvu au kukohoa hivi, hivi shida uminaweza kuwa ni nini?
Kazi yangu ni Udereva wa magari makubwa na muda mwingi huwa naendesha Gari je unaweza kuwa ni sababu?
Nina tatizo liloanza siku ya 3 leo nasumbuliwa na maumivu ya kifua upande wa kulia nasikia maumivu zaidi nikifuta hewa kwa nguvu au kukohoa hivi, hivi shida uminaweza kuwa ni nini?
Kazi yangu ni Udereva wa magari makubwa na muda mwingi huwa naendesha Gari je unaweza kuwa ni sababu?