Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Kuna wabunge na/au mawaziri wa ccm wenye dharau,kejeli na kebehi kwa watz.Baadhi yao ni:
-muhongo
-kapuya
-pinda
-wassira
-membe
-nkamia
-nk
hawa watu,wanajiona kama miungu watu kana kwamba hata hawawezi kuonja mauti.Poleni sana,kama kuna mtu anaamini kuwa watu hawa wataishi milele acomment "LIVE FOREVER". PIA KUWA MBUNGE NA/AU WAZIRI SIO TALENT,KUMBUKENI UONGOZI NI DHAMANA,Mtu yeyote anaweza kuwa mbunge na/au waziri,kuwa wabunge na/au mawaziri isiwe kigezo cha ninyi kujaa kiburi,kejeli na dharau.Wasijione kuwa wao ni bora kuliko wengine,kuna watu wazuri kuliko wao.Wao sio malaika kuwa hawana mapungufu,pia wao ni binadamu kama binadamu wengine walioumbwa kwa damu na nyama
-muhongo
-kapuya
-pinda
-wassira
-membe
-nkamia
-nk
hawa watu,wanajiona kama miungu watu kana kwamba hata hawawezi kuonja mauti.Poleni sana,kama kuna mtu anaamini kuwa watu hawa wataishi milele acomment "LIVE FOREVER". PIA KUWA MBUNGE NA/AU WAZIRI SIO TALENT,KUMBUKENI UONGOZI NI DHAMANA,Mtu yeyote anaweza kuwa mbunge na/au waziri,kuwa wabunge na/au mawaziri isiwe kigezo cha ninyi kujaa kiburi,kejeli na dharau.Wasijione kuwa wao ni bora kuliko wengine,kuna watu wazuri kuliko wao.Wao sio malaika kuwa hawana mapungufu,pia wao ni binadamu kama binadamu wengine walioumbwa kwa damu na nyama