Naomba tusaidiane wakubwa nina swali.?

Anold S

Member
Feb 14, 2015
88
39
Habari zenu wakubwa nina swali lina utata kwa upande wangu.

difference between conflict and mis understanding.?
Msaada tafadhali.
 
binafsi naona yanalandana conflict hutokea kwasababu ya mis understanding,kabla ya conflict huanza mis understanding ni kama process flani.
tofauti nionayo hapo ni kuwa conflict ni kupitiliza haswa kwa kutoelewana means kutupiana ngumi,matusi na vijembe lkn mis understanding huku ni kutoelewana ktk mambo kadhawakadha kabla ya kurushiana ngumi,matusi na vijembe.
 
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
 
binafsi naona yanalandana conflict hutokea kwasababu ya mis understanding,kabla ya conflict huanza mis understanding ni kama process flani.
tofauti nionayo hapo ni kuwa conflict ni kupitiliza haswa kwa kutoelewana means kutupiana ngumi,matusi na vijembe lkn mis understanding huku ni kutoelewana ktk mambo kadhawakadha kabla ya kurushiana ngumi,matusi na vijembe.
Upo sawa kidogo. Ila conflict sio lazima iwe na mtu inaweza kuwa hata within yourself. Hujawahi kusikia mtu anasema nafsi inanisuta kwa kufanya jambo fulani na mara nyingi solution ni kuomba msamaha. Na hiyo internal conflict husababishwa na misunderstanding.
 
binafsi naona yanalandana conflict hutokea kwasababu ya mis understanding,kabla ya conflict huanza mis understanding ni kama process flani.
tofauti nionayo hapo ni kuwa conflict ni kupitiliza haswa kwa kutoelewana means kutupiana ngumi,matusi na vijembe lkn mis understanding huku ni kutoelewana ktk mambo kadhawakadha kabla ya kurushiana ngumi,matusi na vijembe.
 
You can be having personal conflicts. That's conflict between you lakini hakuna misunderstanding between yourself
 
Back
Top Bottom