Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,423
- 29,084
katika bunge linaloendelea tumeona wabunge mbalimbali wa CCM wakitetea kuwa zile hela za ESCROW sio za UMMA bali ni za SINGASINGA. sasa ili kuondoa fitna kipindi cha uchaguzi unawawekea wananchi waone jinsi mbunge wao anavyokataa hela za maendeleoa zisije wakat wao hata umeme hawana. na kwa kuanzia tuanze na mwijage kisha lusinde maana majimboni mwao watu wanakufa kwa ukosefu wa dawa